rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,121
- 1,294
Naomba kujua upatikanaji wa dagaa nyama
Nikuletee bei ya jumla hapo? Debe elfu 45?Mimi nipo Dar nauza hao dagaa wa nyama kutoka mafia nauza debe sh 55000 no yangu 0746527127
Naomba kujua upatikanaji wa dagaa nyama Zanzibar na Mafia bei ipoje ya kununua.
Weka namba yako ya simu apo tuwasiliane
Debe moja ni sawa na kilo ngapi
Umeenda Tunduma na Mbeya wamekupiga swaga madalali wako unakuja kutusumbua hapa
Weka namba yako ya simu apo tuwasiliane
Debe moja ni sawa na kilo ngapi
Kwenye debe 1 zinaingia kilo sabaDebe moja ni sawa na kilo ngapi