jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
Kuna kitabu kimoja hivi kilitikisa sana miaka ya nyuma kinaelezea Uchawi wa Mchungaji Stephano,
Wakuu hivi hii story ni ya kweli?
Na huyo mchungaji alishawahi kuwepo?
Wakuu hivi hii story ni ya kweli?
Na huyo mchungaji alishawahi kuwepo?