Mwalimu Truth
Member
- Feb 15, 2015
- 57
- 62
Habari wana Jf.Naomba kuuliza,hivi ni kweli kutumia Simu wakati wa Mvua yenye ngurumo za radi kuna madhara yoyote yanaweza kumkuta mtumiaji?Simu na radi kuna uhusiano gani kitaalamu katika inshu za mionzi nk?
Binafsi,pengine kutokana na ujuzi mdogo,sioni kama kuna uhusiano wowote na iwapo radi ingekuwa inasababisha madhara kwa watumiaji wa simu basi Wabongo wengi tungepoteza maisha.
Mwenye utaalamu na facts za Kisayansi naomba anifahamishe kuhusu suala hilo maana kuna taarifa nimeona ikizagaa mtandaoni kuhusu mtu mmoja kupata madhara wakati akitumia simu yake mvua ikiwa inanyesha.
Binafsi,pengine kutokana na ujuzi mdogo,sioni kama kuna uhusiano wowote na iwapo radi ingekuwa inasababisha madhara kwa watumiaji wa simu basi Wabongo wengi tungepoteza maisha.
Mwenye utaalamu na facts za Kisayansi naomba anifahamishe kuhusu suala hilo maana kuna taarifa nimeona ikizagaa mtandaoni kuhusu mtu mmoja kupata madhara wakati akitumia simu yake mvua ikiwa inanyesha.