Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,006
Wakuu naomba tusaidiane kujua uimara na udhaifu wa hio gar mana nimeiona nikasema ngoja nishee nanyi hapa ili wadau muidadavue hasa kwa wale wenye nayo
Ina cc 1340 hivo najua kuna wadau wanaweza kuwa wanaijua vema
Ngoja nitume na kapicha
Ina cc 1340 hivo najua kuna wadau wanaweza kuwa wanaijua vema
Ngoja nitume na kapicha