injinia muha jv
Member
- Jun 5, 2019
- 55
- 34
Wakuu,
kuna chuo kimeorodhesh hizi kozi mbili kuwa zinatolewa sasa mmi sijaelewa tofauti yake maana kwa mimi nimeona Kama vile zinafanana lakini wao wamezitofautisha hata muda wake wakuzisoma nitofauti na ada yake pia ni tofauti anae zifahamu anielezee vizuri nizielewe kwa upana zaidi.
kuna chuo kimeorodhesh hizi kozi mbili kuwa zinatolewa sasa mmi sijaelewa tofauti yake maana kwa mimi nimeona Kama vile zinafanana lakini wao wamezitofautisha hata muda wake wakuzisoma nitofauti na ada yake pia ni tofauti anae zifahamu anielezee vizuri nizielewe kwa upana zaidi.