Naomba kujuzwa tofauti kati ya RAM na storage site

geosan

New Member
Oct 1, 2021
4
1
Ndugu nlkuwa naomba tofauti kati ya memory na storage.

Halafu kwa nn App moja kwenye RAM na storage ya simu moja inakuwa na MB tofauti.

Natanguliza shukran wakuu
 
Ndugu nlkuwa naomba tofauti kati ya memory na storage ....
Random Access Memory(RAM) ni temporary storage inayotumika kutunza data pindi zinachakatwa na CPU(Central Processing Unit).

kwa kawaida storage hii huwa ndogo lakini yenye speed kubwa, hivyo data huhama kutoka katika CPU kwenda kwenye RAM au vice versa kwa muda mfupi.

Secondary storage hizi kwa kawaida huwa kubwa lakini speed yake huwa ndogo ukilinganisha na Main memory(RAM). kwa kawaida hutumika kutunza program pamoja na data zako zingine.

Na mara tuu pale zinapohitajika basi data hizi huchukuliwa na kupelekwa kwenye main memory kwa ajili ya kuchakatwa.



Halafu kwa nn app moja kwenye RAM na storage ya simu moja inakuwa na MB tofauti..
App kwenye Secondary storage ndio linakuwepo lote full size lakini kwenye RAM huwa zinakwenda data muhimu kwa wakati huo kwa ajili ya kuchakatwa kutokana na size yake haiwezi kubeba program zote za computer kwa wakati mmoja.

Na hivyo zikiitajika data zisizokuwepo kwenye RAM basi kuna mechanism hufanyika ya kuondoa baadhi ya data na kisha kuleta zinazohitajika kuchakatwa kwa wakati huo.

Kwa kifupi RAM inabeba data zinazochakatwa wakati huo na Storage inabeba program nzima ndio sababu zinatofautiana size.
 
Random Access Memory(RAM) ni temporary storage inayotumika kutunza data pindi zinachakatwa na CPU(Central Processing Unit).

kwa kawaida storage hii huwa ndogo lakini yenye speed kubwa, hivyo data huhama kutoka katika CPU kwenda kwenye RAM au vice versa kwa muda mfupi.

Secondary storage hizi kwa kawaida huwa kubwa lakini speed yake huwa ndogo ukilinganisha na Main memory(RAM). kwa kawaida hutumika kutunza program pamoja na data zako zingine.

Na mara tuu pale zinapohitajika basi data hizi huchukuliwa na kupelekwa kwenye main memory kwa ajili ya kuchakatwa.




App kwenye Secondary storage ndio linakuwepo lote full size lakini kwenye RAM huwa zinakwenda data muhimu kwa wakati huo kwa ajili ya kuchakatwa kutokana na size yake haiwezi kubeba program zote za computer kwa wakati mmoja.

Na hivyo zikiitajika data zisizokuwepo kwenye RAM basi kuna mechanism hufanyika ya kuondoa baadhi ya data na kisha kuleta zinazohitajika kuchakatwa kwa wakati huo.

Kwa kifupi RAM inabeba data zinazochakatwa wakati huo na Storage inabeba program nzima ndio sababu zinatofautiana size.
Ujajibu swali taja BASIC FUNCTION OF RAM ?
 
Ndugu nlkuwa naomba tofauti kati ya memory na storage.

Halafu kwa nn App moja kwenye RAM na storage ya simu moja inakuwa na MB tofauti.

Natanguliza shukran wakuu
Storage pia ni memory, chochote kinachohifadhi kumbukumbu ni memory,
Ram yenyewe inahifadhi kumbukumbu lakini Ukizima kifaa inafuta kila kitu, na Storage inahifadhi kumbukumbu pia lakini Ukizima kifaa bado inahifadhi.

App moja kuwa na size tofauti inategemea na matumizi. Mfano mimi na wewe wote tunatumia whatsapp,

mimi natumia picha 100 kwa siku, nachat na watu 1000, natumia nyimbo na mambo kibao pamoja na kupokea.

Wewe kwa siku unachat na watu wawili tu maybe picha moja kwa wiki.

Hapa whatsapp yangu itakuwa na mb nyingi sababu inahifadhi backup ya chat zote, kutakuwa na thumbnail, na data nyengine.

Kuelewa zaidi nenda setting kwenye simu then apps tafuta app moja fungua nenda kwenye storage utaona wamegawanya mambo matatu. Actual size ya app, app data na cache, hizo app data na cache zinatokana na matumizi yako wewe hivyo zinafanya app moja kwenye simu mbili kuwa na size tofauti.
 
RAM( random access memory ) hii ni temporary storage, working platforms ya kifaa (simu au PC) uhifadhi data ,programs ambazo zinachakawa wakati huo ,

Na size yke inapokuwa optimum, ndio urahisisha CPU kuchakata data,

Secondary storage hii permanent storage ambayo uhifadhi data na programs permanent ukubwa wake ndo unaongeza na uwezo wa kuhifadhi data za kutosha
 
Back
Top Bottom