Kwanza tuambie umejuaje kana anaumwa huo ugonjwa?Habari wa ndugu naomba msaada ndugu yangu amepatwa na ugonjwa wa parkison naomba kwa anayejuwa tiba au jinsi ya kumsaidia, nawakilisha kwenu tafadhali
alikwenda agakhan hospital ndiyo wakasema ana tatizo hilo na kuambiwa mpka sasa hakuna tiba ya tatizo hilo kapatiwa dawa za kupooza tuu lakini siyo tiba kihivyoKwanza tuambie umejuaje kana anaumwa huo ugonjwa?
Na kama atakuwa alipimwa na kubainika ana huo ugonjwa, waliompima walimshauri nini?
Na je alifuata ushauri wao?
Hebu tuanzie hapo kwanza
Aghakhan ya wapi? Unajua JF members tuko nchi mbalimbali na mikoa tofauti na kote Aghakhan imo...alikwenda agakhan hospital ndiyo wakasema ana tatizo hilo na kuambiwa mpka sasa hakuna tiba ya tatizo hilo kapatiwa dawa za kupooza tuu lakini siyo tiba kihivyo
Agakhan Hospital ile ya Seaview D'salaamAghakhan ya wapi? Unajua JF members tuko nchi mbalimbali na mikoa tofauti na kote Aghakhan imo...
Poleni sana. Ushauri wangu ni kuwa jaribuni vile vile ku-seek a second opinion from another specialist. Kuna magonjwa mengi yenye hizi dalili. Dr hata awe mzuri kiasi gani kuna wakati anaweza ku-overlook ugonjwa na akadhani ni ugonjwa fulani kumbe siyo. Hivyo jaribuni kutafuta specialist mwingine kutoka eg Muhimbili awape naye maoni yake.Habari wa ndugu naomba msaada ndugu yangu amepatwa na ugonjwa wa parkison naomba kwa anayejuwa tiba au jinsi ya kumsaidia, nawakilisha kwenu tafadhali
Poleni sana. Ushauri wangu ni kuwa jaribuni vile vile ku-seek a second opinion from another specialist. Kuna magonjwa mengi yenye hizi dalili. Dr hata awe mzuri kiasi gani kuna wakati anaweza ku-overlook ugonjwa na akadhani ni ugonjwa fulani kumbe siyo. Hivyo jaribuni kutafuta specialist mwingine kutoka eg Muhimbili awape naye maoni yake.
Mkuu kwani kuna magonjwa ya wazungu peke yaoHongera mkuu kwenu mna pesa mpaka mnakua diagnosed na magonjwa ya wazungu
Literally Parkinsonism haina matibabu kamili isipokua hio palliative ambayo wataalam wamekupatia
poleni
Yapo na yapo ya watu weusi peke etuMkuu kwani kuna magonjwa ya wazungu peke yao
Na ushauri wao ulikuwa nini?Agakhan Hospital ile ya Seaview D'salaam
Hauna tiba. Unajifunza tu kuishi nao na kufanya mazoezi maalumu ili uweze kuwa stable ila hauponi.Habari wa ndugu naomba msaada ndugu yangu amepatwa na ugonjwa wa parkison naomba kwa anayejuwa tiba au jinsi ya kumsaidia, nawakilisha kwenu tafadhali
Inamtoka au zinatutoka?Parkinson disease ndio huo unaomsumbua Lowassa... Yaan ni kupooza kwa mishipa mbalimbali ya fahamu na kupoteza baadhi ya kumbukumbu.. tiba yake ni ghali Sana.. EL huwa anaendaga huko na almostly kila akienda huko sio chini ya ml 300 inamtoka..
Inamtoka au zinatutoka?