TATIZO LA KUTOONA MBALIHabari wadau
Nimeanza kupata tatizo la kutotambua mtu aliyezaidi ya mita hamsini naweza kumwona Kama mtu yule pale lakini nashindwa kumtambua ni Nani hata Kama namjua. Naomba msaada wa hili kabla ya tatizo halijawa kubwa zaidi
😂Ahsante mkuu kwa kuniweka sawa lakini wewe pia umeninukuu tofauti sijamwambia akapime miwani bali akapime macho najua ndio tiba yake akienda uko atapata tiba hiyo na hajataka kujua sababu ya tatizo bali ametaka tiba, mtibie mkuu asivae miwani.Akisha enda kupima Miwani hawezi tena kuona mbali pasipo na kuvaa miwani . Inakuwa amesha jitibia yeye anataka kujuwa sababu ba dawa wewe una mwambia aende kupima miwani?
Tupambane.Mwaka wa 2 navaa miwani tatizo Kama lako.
Kichwa kina magonjwa ya ajabu ajabu sana, macho yamenitesa kwa muda mrefu,miaka sita sasa navaa miwani. Mwaka jana nimeenda kwa kinyozi nashangaa ananibadilishia kimo cha kunyoa, nikamuuliza kulikoni? Ananiambia "mzee, hapa juu nywele hamna kabisa,kuanzia sasa nitakuwa nakunyoa za kuota".Mimi sioni karibu. Ni mwendo wa miwani tu na lasik surgery naiogopa kinyama...
usisahau kunitag mkuu urudipo kuleta mrejeshoNimepata dawa ya matatizo ya macho nimeanza kuitumia juzi, na ni dozi ya siku saba. Nitaleta mrejesho baada ya kutumia
Dawa zipi Mkuu weka apa tujue?Nimepata dawa ya matatizo ya macho nimeanza kuitumia juzi, na ni dozi ya siku saba. Nitaleta mrejesho baada ya kutumia
Kipara siyo ugonjwa bana. Nadhani ni hela tu zimekukubali sasa unaota kiupara cha kipapaa. God is goodKichwa kina magonjwa ya ajabu ajabu sana, macho yamenitesa kwa muda mrefu,miaka sita sasa navaa miwani. Mwaka jana nimeenda kwa kinyozi nashangaa ananibadilishia kimo cha kunyoa, nikamuuliza kulikoni? Ananiambia "mzee, hapa juu nywele hamna kabisa,kuanzia sasa nitakuwa nakunyoa za kuota".
Yaani naumwa (sioni mbali)macho, naumwa (kipara) nywele.
Hakuna kitu sheheusisahau kunitag mkuu urudipo kuleta mrejesho