Mkuu unaniogopesha ngoja nikate mawasiliano na huyu manzi wa kisukumaKwao cash siyo deal bali ng'ombe, chukua kiasi fulani cha cash ufike kwa wazazi wake na hapo unaweza kuanza kukaa nae kama mkeo ila kwa mahari andaa .
Angalizo: kwao kipaumbele syo kuishi mpaka kifo kiwatenge/uzeeni. Ukizngua kidogo ndoa inatetereka na pia anaishi kwa tahadhari kubwa mpaka kuja kuachana anakuwa na mtaji wake kukuzidi hata mara dufu. Ishi kufuata msingi wa imani yako, ishini na wake zenu kwa hakili.
Nyani Ngabu njoo utoe taratibu za dada zako kuchumbiwa
Ng'ombe 100 zote hizo za nini?Atoe ng’ombe 100.
Ng'ombe 100 zote hizo za nini?Atoe ng’ombe 100.
Ng'ombe 100 zote hizo za nini?
Nawe jiandae uchagani kutoa ng'ombe 250Nini we Muree....acha mwenzio atoe....
Nawe jiandae uchagani kutoa ng'ombe 250
Ha haaa ngoja niwapange kabisaKwa yule cheupe shombe shombe wa leo ntatoa 300 kabisa!!
Nina mchumba wakisukuma lakini sijua utaratibu wa kutoa mahari unakuwaje kwa maana sielewi tamaduni za kabila hili, msaada wenu wapendwa.
Kumbe ndio huyo nilifikiri anachura
Ng'ombe sina ila Nina cash
Hawa watu huwa nawapenda sana bahati mbaya wanawasema vibaya, Ila nikiona mtoto wa Mbulu huwa nafarijika sana.Mkuu naomba unipe taratibu za kuoa mwiraq (mbulu)
Kuhusu gem nampiga kweli had anasema huku chin kunawaka moto wakat mwingine hanipi kabsaa
Nlijua ni gharama Sana kumbe nikiwa na million 4 zinatosha
Nlikua na shake before useKumbe umesha piga hadi K inawaka moto sasa unalipia nini mkuu? au alikukopesha?
Wanawasemaje Mkuu ebu nitonye ndg yngHawa watu huwa nawapenda sana bahati mbaya wanawasema vibaya, Ila nikiona mtoto wa Mbulu huwa nafarijika sana.