Habarin ndugu zangu!!!
Mim n mwanafunzi wa moja wapo ya kozi za afya ambazo ni MD,PHARM,NURSING & MED LAB ninachoomb kufahamishw ni kwann mishahara kati ya medical lab&nursing ni tofauti na ule wa pharmacy ingawaje wote wanasoma miaka sawa na pia tukija kwenye suala la kazini kati ya nurses na pharmacist wapi ambao wanafnya kazi nyingi kuliko wengine,,, msaada kwa ilo ndgu zanguni
Mim n mwanafunzi wa moja wapo ya kozi za afya ambazo ni MD,PHARM,NURSING & MED LAB ninachoomb kufahamishw ni kwann mishahara kati ya medical lab&nursing ni tofauti na ule wa pharmacy ingawaje wote wanasoma miaka sawa na pia tukija kwenye suala la kazini kati ya nurses na pharmacist wapi ambao wanafnya kazi nyingi kuliko wengine,,, msaada kwa ilo ndgu zanguni