Venus Tz
New Member
- Oct 14, 2020
- 4
- 3
Wakuu Nahitaji Kuanza biashara ya Ku print T shirt ila kwa bahat mbaya bado sijajua sehemu wanapouza T shirt plain Zenye bei nafuu ambazo nikiprint Zitaweza kunipa faida...so nilikua naomba kujua kama kuna mtu anajua Sehemu yenye t shirt za 5000 angalu ili niweze kupata mzigo wa kutosha.
Msaada tafadhali
Msaada tafadhali