Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,353
Wapi huko umenunua?Bei inaweza kuwa sawa.Mchina kawashikisha adabu.Mfano nilishanunua good year za S.Afrika kwa 180k ila kwa sasa ni 120k
Wapi huko umenunua?Bei inaweza kuwa sawa.Mchina kawashikisha adabu.Mfano nilishanunua good year za S.Afrika kwa 180k ila kwa sasa ni 120k
Mkuu nimeshabadilisha mara tatu.kuhusu mwaka najua kuangalia wiki na mwaka iliyotengenezwa. Size ya tairi ni 195,65,15. Sehemu hiyo mwanzoni waliniuzia 180k.Hakuna Good year ya bei hiyo ndugu na kama umeuziwa kwa bei hiyo basi tazama mwaka. Kuna wafanya biashara wengine wanakuwa na stock ya zamani wanauza kwa bei rahisi ili ziishe
Unabadili tairi kila baada ya km ngapi? Au miaka mingapi?Mkuu nimeshabadilisha mara tatu.kuhusu mwaka najua kuangalia wiki na mwaka iliyotengenezwa. Size ya tairi ni 195,65,15. Sehemu hiyo mwanzoni waliniuzia 180k.Mara ya pili nikakuta ni 120k.Nikauliza vipi hii bei wakaniambia waliokuwa wakiendesha hiyo sehemu wamefurushwa so no uongozi mpya.Mwaka jana nimebadilisha tena maeneo ya Goba kwa bei hiyo iliwa ni pamoja na wheel balance
Kila baada ya miaka 2.Inakuwa imeenda km za kutosha.Nikizitoa naziuza piaUnabadili tairi kila baada ya km ngapi? Au miaka mingapi?
Inaonekana kama unabadili kila mwaka? Au unabadili tairi mojamoja?
SAWA.Kila baada ya miaka 2.Inakuwa imeenda km za kutosha.Nikizitoa naziuza pia
Ukifika pale nenda karibu na NMB Kariakoo Kuna wasomali wanauza tairi Bei poa ajabu.Najua tyres zinauzwa sana LIVINGSTONE na LUMUMBA streets, DSM.