HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,056
- 1,212
Habarini wadau wa JF
Naamini mnaendelea vema na shughuli za kila siku.
Nina wazo la mradi wa elimu ya sayansi kwa shule za sekondari (Physics, Chemistry na Biology) na sayansi kwa shule za msingi , wazo langu litasaidia Sana katika kuboresha elimu ya watoto wetu lakini naomba kujuzwa ni NGOs gani naweza kuwaandikia proposal na kuomba pesa ambayo itanisaidia ku fikia malengo ya mradi huo.
Ningependa kujuzwa mashirika hayo kwa hapa Tanzania hasa mashirika ya kimataifa. Sijaweza kutoa wazo langu hadharani kwa Sasa naamini mtanipa mwongozo mzuri.
Asanteni
Naamini mnaendelea vema na shughuli za kila siku.
Nina wazo la mradi wa elimu ya sayansi kwa shule za sekondari (Physics, Chemistry na Biology) na sayansi kwa shule za msingi , wazo langu litasaidia Sana katika kuboresha elimu ya watoto wetu lakini naomba kujuzwa ni NGOs gani naweza kuwaandikia proposal na kuomba pesa ambayo itanisaidia ku fikia malengo ya mradi huo.
Ningependa kujuzwa mashirika hayo kwa hapa Tanzania hasa mashirika ya kimataifa. Sijaweza kutoa wazo langu hadharani kwa Sasa naamini mtanipa mwongozo mzuri.
Asanteni