teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Naomba nisaidiwe ni njia gani wanazotumia, mfano wakati kuna tukio fulani linaendelea utakuta watu wengine wanaangalia tukio hilo LIVE ni nini kinatakiwa kuwepo? kwa mfano nikiwa Kanisani na ibada inaendelea nataka watu wengine waone ibada hiyo LIVE kupitia youtube je ni vifaa gani vinavyotakiwa ili nifanye zoezi hilo?,
Naunganisha na hili, simu yangu zamani nilikuwa naweza kuiunganisha na laptop yangu kwa njia ya bluetooth lkn kwa sasa haikubali kuna msg inaniambia hivi.
Naunganisha na hili, simu yangu zamani nilikuwa naweza kuiunganisha na laptop yangu kwa njia ya bluetooth lkn kwa sasa haikubali kuna msg inaniambia hivi.