Daah, yaani kaka kama pale Machinga na Kkoo kwa Pasco unapata PC core i3 au 5 mpaka kwa Laki tano aisee, nahisi ndo michezo wanayofanya hawa watu.Hata hiyo gps tracking board inatolewa tu. Watu wana-disassemble pc yote na kuuza kifaa kimoja kimoja. Pole sana kwa alieibiwa na Mungu amjalie apate pc nyingine na aongeze umakini zaidi kwenye kuilinda.