Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kikeJamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie,Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kumaliza period yangu na nikapata mimba,je Apo mtoto anaweza kuwa wa JINSIA gani
Ovulation siku ya kumi?Ni wa Kiumee...!! Maana hiyo ilikuwa ni siku ambayoo ovulation mzee mamaa... So kabao ka mzee baba kale Y sperm sababu kako faster sanaa bhasi ndo vile lakini pia kuna factors nyingine sio suala tu la speed.
Siku ya kumi baada ya MP kuishaa ofcoz..!!Ovulation siku ya kumi?
Weka maelezo vizurJamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie,Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kumaliza period yangu na nikapata mimba,je Apo mtoto anaweza kuwa wa JINSIA gani
Bhasi wa Kiumee...!! Siku ukijifungua rudi hapiiiiNilikuwa period kwa siku nne
Safi jiandae na toto la kiume uje utupe mrejeshoNilikuwa period kwa siku nne na hizo siku kumi nimeanza kuhesabu tangu siku ya Kwanza naona damu
Kama ni danga unapata wa kiume ila kama ni mchepuko unapata wa kikeUngetoa jibu Kwanza ndio maswali yaje ingependeza zaidi
Nilikuwa period kwa siku nne na hizo siku kumi nimeanza kuhesabu tangu siku ya Kwanza naona damu
Kadanye ultra sound, mimba ikifika miezi mitano watakwambia jinsia ya mwanaoJamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie,
Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kuanza period yangu na nikapata mimba.
Je, hapo mtoto anaweza kuwa wa jinsia gani?