kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,654
- 1,765
Wakuu habarini za weekend!
Samahani nimefanya installation ya UBUNTU na kuondoa wibdow 10 ila mafaili yangu yakiopo kwenye window 10 siyaoni, pia nimeshindwa kufanya partition katika UBUNTU.
Naombe msaada wa kurudisha mafaili yangu na kufanya partition.
Shukrani.
Samahani nimefanya installation ya UBUNTU na kuondoa wibdow 10 ila mafaili yangu yakiopo kwenye window 10 siyaoni, pia nimeshindwa kufanya partition katika UBUNTU.
Naombe msaada wa kurudisha mafaili yangu na kufanya partition.
Shukrani.