Naomba kujuzwa namna ya kupiga simu kwa kutumia Laptop

teac kapex

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
470
136
Wadau najua jamiiforum ni kisima cha maarifa, hivyo hitaji langu litapatiwa ufumbuzi hapa hapa, kama kichwa cha somo mimi nahitaji kujua kama kuna app ambayo naweza kui install kwenye laptop na ikaweza kutumika kupiga simu.

Maana hata hivyo hii mashine ina sehemu ya kuchomeka line na ndiyo huwanaitumia kuweka bando la internent ni matumaini yangu kuwa inawezekana. Aina yake ni MicroSoft surfaceGo
7
Natanguliza shukran
 
Laptop yenyewe ina line, nataka app ya kupiga simu

Ukiwa umeweka line, na kuwasha computer huwa line inakuwa active muda wote(yaani inasoma mnara moja kwa moja) au ni hadi ufungue internet?

Kuunga internet kuna application unaifungua kwanza au unafanyaje?
 
Hata baadhi ya ipads zina SIM slot lakini hazisupport Nomal calls. Ki msingi hicho kitu hakiwezekani na wala usipoteze muda.

Ni issue ya hardware na sio software
 
Najua utakua unatumia laptop aina ya dell au hp ndo hina hiyo system okay hiyo chip zimetengenezwa kwa watu wa njee siio hapa Tz so haiwez kufanya kaz mkuu.

Kwa sababu mfumo walioweka ni kwa ajili ya watu wa njee tu
 
Najua utakua unatumia laptop aina ya dell au hp ndo hina hiyo system okay hiyo chip zimetengenezwa kwa watu wa njee siio hapa Tz so haiwez kufanya kaz mkuu
Kwa sababu mfumo walioweka ni kwa ajili ya watu wa njee tu

jamaa kasshasema anatumia microsoft surface na ww unasema HP/ Dell

Any way, hata kama ingekuwa HP au Dell ishue ni kwamba internal modem huwa inatolewa so ukibahatika ikawemo ndani hata hapa Tanzania unaweza tumia
 
Hata baadhi ya ipads zina SIM slot lakini hazisupport Nomal calls. Ki msingi hicho kitu hakiwezekani na wala usipoteze muda.

Ni issue ya hardware na sio software
Mwaka 2013 nilikuwa na Hp G61 hii laptop ilikuwa ina uwezo wa kupiga simu kwa Bluetooth,nili connect laptop na simu kwa bluetooth alafu nikabonyeza alama ya simu kwenye laptop.simu ikipigwa inaita kwenye pc unapokea na unaongea kwa pc
 
Kuna application inaitwa linkus inatumika na customer care kupokea simu za wateja kwenye laptop na hata simu.
Sina uhakika Kama inafanya kazi bila server connection!!!
 
Mwaka 2013 nilikuwa na Hp G61 hii laptop ilikuwa ina uwezo wa kupiga simu kwa Bluetooth,nili connect laptop na simu kwa bluetooth alafu nikabonyeza alama ya simu kwenye laptop.simu ikipigwa inaita kwenye pc unapokea na unaongea kwa pc

hata za sasa zinaweza inategemea na bluetooth emulator ya PC yako
 
tafuta modem za hspa,ndio natumia kupiga,kupokea,kutuma sms na internet kwa miaka mitano sasa
 
Back
Top Bottom