TZCHINA
Senior Member
- Dec 6, 2019
- 126
- 152
Habari wapendwa,
Nipo kwenye mchakato wa kufungua kampuni. Kuna kipengele cha Shares, mwenye ujuzi wa namna ya kugawanya share na maana zake anipe msaada tafadhali.
Nimekutana na huu mfano google lakini sijauelewa, atakayeelewa naomba anieleleweshe.
Bringing in new shareholders always means "dilution" to the existing shareholders. If a new investor is to receive a 10% stake in the company, then a shareholder who previously held 40% of the equity, will now hold 36% (i.e. 90% of 40%). You never actually never give up your shares when new people are dealt in. You simply issue more shares (the same way governments print money). Issuing more shares is what causes the dilution. If you have 100 shares and you want to give someone 10%, you'd have to issue 11 new shares (11/111 x 100 = 10%, approximately).
Ahsante sana kwa muda wenu wote.
Nipo kwenye mchakato wa kufungua kampuni. Kuna kipengele cha Shares, mwenye ujuzi wa namna ya kugawanya share na maana zake anipe msaada tafadhali.
Nimekutana na huu mfano google lakini sijauelewa, atakayeelewa naomba anieleleweshe.
Bringing in new shareholders always means "dilution" to the existing shareholders. If a new investor is to receive a 10% stake in the company, then a shareholder who previously held 40% of the equity, will now hold 36% (i.e. 90% of 40%). You never actually never give up your shares when new people are dealt in. You simply issue more shares (the same way governments print money). Issuing more shares is what causes the dilution. If you have 100 shares and you want to give someone 10%, you'd have to issue 11 new shares (11/111 x 100 = 10%, approximately).
Ahsante sana kwa muda wenu wote.