Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 307
- 348
Asante sana mkuuMungu atakuongoza mkuu
Asante sana mkuuMungu atakuongoza mkuu
Ndio nayoUna passport
Hivyo vitu anza kuvifanya ukiwa hapaNina sala sana
Sina maana hiyo mkuu.kifupi nahitaji msaada .vijana wana vitu kichwani lkn wakuwa support na kuwashika mkono hukuna.hvyo inapelekea kijana kufanya maamuzi ya kubashili
Unaamini Ulaya ndio unaenda pata pesa kwa urahisi?Siwezi kwenda mkuu.sabab sina pesa ndo maana natafuta msaada wa kwenda hata nje kufanya kazi yoyote ingawa nimesomea laboratory industry. Naimn na mm nitapanga huko unaponiambia.Asante sana
Wakuu poleni kwa usumbufu. Kama kuna watu/MTU wapo Canada nilikuwa nahitaji msaada kutoka kwao.waje wanipe details/connection kamili za namna gani walifanikiwa kuwa huko. Sabab mm pia nataman kufanya hvyo
Daaaah.shukurani mkuuMuone Lema