sifahamu scale zaoA Senior Planner at TPA??? Scale gani hii? naomba kuijua
Baada ya makato yote atabaki na kama 400k...800,000 kabla ya makato ondoa security fund ondoa deni la heslb nadhani unabakiwa kama laki 6 kasoro hivi baada ya makato
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezi kuwa hiyo mkuu..labda mia 4 na ushehe hivi.800,000 kabla ya makato ondoa security fund ondoa deni la heslb nadhani unabakiwa kama laki 6 kasoro hivi baada ya makato
Sent using Jamii Forums mobile app
910,000/=Naomba kufahamu Mshahara wa Senior Planning Officer II wa Tanzania Ports Authority ni Tsh Ngapi?
Naomba kufahamu na Salary Scale ya nafasi hiyo
Punguza zarau, mishahara ya taasisi hutegemea na taasisi husika, watu hawalipwi kwa dip wala phd zao,watu wanalipwa kujlingana na majukumu wanayoyatekeleza kwa mujjibu wa muundo wao.Hivi ni kweli TPA wana scale hizi ikiwa ina maana anazidiwa mshahara na secretary wa TANESCO mwenye ka DIP ka magogoni pale
Vipi mkuu umeumia mimi kuongea hivyo🤔Punguza zarau,mishahara ya taasisi hutegemea na taasisi husika,watu hawalipwi kwa dip wala phd zao,watu wanalipwa kujlingana na majukumu wanayoyatekeleza kwa mujjibu wa muundo wao.
Sent from my SM-N920F using JamiiForums mobile app
Unalimlisha tango pori jamaa sio?? TPA hakuna mtu anapata take home ya laki 6 labda kama ana madeni kwenye upatu na vikoba.800,000 kabla ya makato ondoa security fund ondoa deni la heslb nadhani unabakiwa kama laki 6 kasoro hivi baada ya makato
Sent using Jamii Forums mobile app
Basic Salary 2.3mNaomba kufahamu Mshahara wa Senior Planning Officer II wa Tanzania Ports Authority ni Tsh Ngapi?
Naomba kufahamu na Salary Scale ya nafasi hiyo
Mkuu huu ni wa Senior au wa Junior a.k.a entry level?Basic Salary 2.3m
SeniorMkuu huu ni wa Senior au wa Junior a.k.a entry level?
Duuuh basi naona watu hua wana pa overate sana au ni hizo overtime zao maana kuna sehemu(serikalini? hio ya senior anaanza nayo mtu wa juniorSenior
Hiyo ni Basic na sio Gross.Duuuh basi naona watu hua wana pa overate sana au ni hizo overtime zao maana kuna sehemu(serikalini? hio ya senior anaanza nayo mtu wa junior