mixer au dry
Member
- Sep 25, 2019
- 66
- 56
Mkuu njoo "songea" hakika hautojuta
Wanaliwaga msimu wa njaa fursa nyingine adimu hiyoSingida kuna nzi balaaa
Dahh, hahahhaSingida kuna nzi balaaa
Kilimanjaro hakuna fursa, ndiyo maana hata wazawa wanapakimbia. Fura nyingi zipo mikoa kama Katavi, Mpanda, Morogoro-Mvomero
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa gani ambao mtu anaweza kuishi ikiwa anajishughulisha na shughuli za mtandaoni na kuhitaji utulivu na gharama ndogo ya maisha maana kuna kupata pesa nyingi halafu ukajikuta yote inatumika kwa mahitaji ya kila siku kwani hapa nilipo (Dar) ni kama gharama ya maisha kila siku ni kubwa pesa nyingi inatumika.
So unaweza kuwa na uzoefu na mkoa gani ambao kwa mtu wa online business akaweza kuishi.
Mkoa wenye internet ya kasi especially TTCL na Tigo
Huduma za kibenk equity na rate ya exchange ya dollar iwe nafuu kidogo.
Shughuli zangu hazitegemei watu zaidi walionizunguka
Pia uhakika wa umeme.
Pia utulivu na uwezekano wa mtu kuwekeza na maana maisha yanabadilika unachotegemea leo kinaweza kukwama.
Gharama ya maisha (upatikanaji wa chakula kwa bei rahisi)
Mmmh.....!!! Huko atakuwa amejitenga na Tz na kujiweka karibu na BurundiKwa masharti na vigezo ulivyotoa naona wilaya ya Kibondo mkoa wa Kigoma itakufaa. Gharama za maisha hasa vyakula ziko chini sana, umeme upo na mitandao yote ya simu ipo.
Hakika wewe ni wa Mwanza maana hata kusema rahisi umeiweka kimwanzamwanza " lahisi "Nyamagana mwanza
Internet full
Bank zipo zote
Maisha lahisi
Maji ziwa lipo
Miundo mbinu kama yote
Jiji la pili tz
Maisha na vyakula nafuu
Karbu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalizo: Ameandika hapo juu kuwa shughuli zake zinatumia mtandao zaidi na mtandao hauna mipaka unayoitaja hapa, zaidi sana kuna huduma zote za kimtandao katika wilaya hiyo ambao hauna watumiaji wengi.Mmmh.....!!! Huko atakuwa amejitenga na Tz na kujiweka karibu na Burundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigoma maisha yapo chini ila service ni shida, mfano mitandao simu ni shida.Kwa masharti na vigezo ulivyotoa naona wilaya ya Kibondo mkoa wa Kigoma itakufaa. Gharama za maisha hasa vyakula ziko chini sana, umeme upo na mitandao yote ya simu ipo.
Makete wakinga wenyewe wamepakimbia we jamaa.Makete ndio wilaya ngumu zaidi Njombe ipo periphero haina barabara nzuri.Makete unaweza fananisha na wilaya ya Ileje kwa mbeya ya zamani.Yanda za juu kusini yaani mbeya iringa njombe songea
Chakula cha kutosha aina vyote
Hali ya hewa ni baridi kipindi chote cha mwaka mazingira kijani fursa za kilimo na biashara
Njombe. Wilaya makete pazuri sana milima mashamba biashara hali ya hewa baridi ila ndio mkoa na wilaya inayoongoza kwa ukimwi kama una familia usiende
Songea kwa familia panakufaa wilaya mbinga kitu kipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Kibondo mitandao yote iko vizuri na hasa internet ambayo watumiaji ni wachache sana.Kigomabmaisha yapi chini ila service ni shida, mfano mitandao simu ni shida.
Kiuhalisia mji ni Dare es salaam tuu, Kwa hapa Tanzania , miji mingine utasota Sana mpak network ya maisha ije isome shidaaa, miji mingine ukitoboa watu wote wanakufahamu unakuwa monitored vibaya sana, Dsm watu ni wengi hata ukitoboa huwez julikana kama umetoboa , usinitch mdogo , DSM mzunguko wa Pesa ni mkubwa sana ni wewe Tu kuongeza speed, miji mingine ina changamoto ya ukabila asikudanganye mtu, ila kama kazi yako ya kujifungia chumban tuu , nenda MoshiDar es Salaam bhana usihangaike. huko Moshi hata Mwamposa kulimshinda hadi alipokuja Dar es Salaam.
juzi alirudi Moshi kuja kutest mitambo akajikuta amekula vichwa 20