Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
Ndugu naomba Msaada wenu nahitaji kujua kama kuna huduma ya kumsaidia Mjamzito kuzuia kutapika maana kuna dada hapa Mimba Toka inamwezi mmoja mpaka ameenda kujifungua yeye kila Siku na kila baada ya Masaa kazaa ni lazima atapike sasa.
Mdogo Ake nae ni Mjamzito na ameanza kutapika mfululizo Msaada wenu Tafadhari hata wa ushauri tu
Mdogo Ake nae ni Mjamzito na ameanza kutapika mfululizo Msaada wenu Tafadhari hata wa ushauri tu