Matty96
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 215
- 194
Nategemea kufanya safari kutoka Dar kwenda Dodoma mwanzoni mwa mwezi November na gari yangu Subaru Legacy B4 2008 Push to start.. naomba ushauri juu ya mambo ya kuzingatia kabla, wakati na baada ya safari.. kuanzia service na vitu na kuweka sawa kabla sijaondoka.. service ya mwisho nmefanya zmepita tayari km 700 hv..
Cc: Wataalamu wote wa masafa marefu na wenye uzoefu na magari
Cc: Wataalamu wote wa masafa marefu na wenye uzoefu na magari