donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,042
- 21,517
Salam wakuu,
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kuna mahala hapa mjini Dodoma nilienda , katika kupiga story mbili tatu na wana kijiweni, jamaa wakawa wanalalamika kwamba mkoa wa dodoma una uhaba wa studio na hiko kitaa chao madogo kibao tu wanapenda muziki na wana ndoto za kurekodi nyimbo lakini changamoto ni studio. Unakuta studio kubwa pengine iko mjini na mainly ina base na kurekodi muziki wa injili.
Sasa napenda kufahamu wakuu, kwa simple studio, ni PC yenye requirements gani (sound card, video card etc) ina hitajika? Je, gharama za mixer (sijui wanaita sound card), microphone na vifaa vinginevyo. Kuhusu apps sina wasiwasi najua ma cubase, FL, vocoder etc.
Zinapatikana kirahisi tu kwenye torrents. Frame imeshapatikana, kingine naulizia jinsi ya kufanya chumba cha kuingizia vocal kua soundproof.
Nilishawahi kusikia kwamba unaweza ukafunga tray za mayai kuzuia kelele kama huna uwezo wa kumudu gharama za soundproof glasses.
Hivyo naomba muongozo wakuu, je kwa budget ya 1M unaweza ukafanikiwa kufungua studio complete ambayo ni simple (bila keyboard etc) ambayo ukaweza kugonga midundo na kuingiza vocals na kufanya mixing ? Natanguliza shukrani za dhati!
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kuna mahala hapa mjini Dodoma nilienda , katika kupiga story mbili tatu na wana kijiweni, jamaa wakawa wanalalamika kwamba mkoa wa dodoma una uhaba wa studio na hiko kitaa chao madogo kibao tu wanapenda muziki na wana ndoto za kurekodi nyimbo lakini changamoto ni studio. Unakuta studio kubwa pengine iko mjini na mainly ina base na kurekodi muziki wa injili.
Sasa napenda kufahamu wakuu, kwa simple studio, ni PC yenye requirements gani (sound card, video card etc) ina hitajika? Je, gharama za mixer (sijui wanaita sound card), microphone na vifaa vinginevyo. Kuhusu apps sina wasiwasi najua ma cubase, FL, vocoder etc.
Zinapatikana kirahisi tu kwenye torrents. Frame imeshapatikana, kingine naulizia jinsi ya kufanya chumba cha kuingizia vocal kua soundproof.
Nilishawahi kusikia kwamba unaweza ukafunga tray za mayai kuzuia kelele kama huna uwezo wa kumudu gharama za soundproof glasses.
Hivyo naomba muongozo wakuu, je kwa budget ya 1M unaweza ukafanikiwa kufungua studio complete ambayo ni simple (bila keyboard etc) ambayo ukaweza kugonga midundo na kuingiza vocals na kufanya mixing ? Natanguliza shukrani za dhati!