Daaahhh ila wabongo kwa tamaa, sijui kwa nini hua haturidhiki na mishahara yetu ya halali, kila muajiriwa akili yake inawaza kupiga dili tu, tena wengine wanajiharibia kazi ya mshahara wa 2m kwa dili lisilozidi hata 1m.Pesa haijapigwa ila wanahisi, wangekubali wanahisi ningenyoosha pesa..wakasema ni dishonesty, ila pesa haijapigwa.
Ataanikaje mpunga kwenye kuku wengiNakubaliana na wewe kabisa. Tatizo mleta uzi hataki kuweka mambo wazi
Mimi niliwahi kuwa terminated na cheti cha utumishi nilipewa. So huyo jamaa hajui anachoongeaAnapewa.
Wewe unatumia akili yako au sheria iliyopo?