Kandahar Tz
Member
- Apr 2, 2017
- 26
- 21
Nina Umri wa miaka 27 nina diploma ya Electrical Engineering na sasa hvi nipo mwaka wa mwisho nasoma degree ya Electrical Engineering. Kwa kifupi hapa bongo mfumo wa ajira za uhakika with high paying scale ni ngumu sana kuzipata. Nimesikia nchi hizi mbili za Botswana, Namibia na Angola bado wana magepu kwa Doctors, Engineers na Teachers. So kwa yeyote mwenyewe ufahamu kuhusu hili unakaribishwa mchango wako ni muhimu sana.