The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
Wakuu salamu,Nina maswali mawili naomba kuuliza.
Swali la Kwanza
Nchi ya Ukraine ina kitu gani special sana hadi kupelekea kugombewa na mataifa nyenye nguvu duniani yaani marekani na urusi?
Marekani anataka kumiliki hilo eneo,mrusi nae anataka kulimikili,je ni sababu za kijasusi,kiuchumi au nini
Swali la Pili
Nchi mbalimbali barani Africa zimekumbwa na mapinduzi ya kijeshi kama Mali, Burkina Faso nk
Kwa mfano,kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini mali anacheo cha Luteni Kanali.Na kwa uelewa wangu ni kuwa jeshini cheo cha juu kabisa ukiacha CDF ni General.
Sasa swali langu ni hili,hawa maluteni wanapata wapi nguvu ya kupindua serikali na kuliongoza jeshi kufanya mapinduzi wakati wao sio majenerali?
Nilidhani majenerali ndio viongozi wa juu kabisa jeshini wenye uwezo wa ku mobilize jeshi kufanya tukio fulani kulingana na vyeo vyao,lakini hawa makanali wanapata wapi huu ujasiri,nguvu, ushawishi na uungwaji mkono na wanajeshi wengine?
ASANTENI KWA MAJIBU YENU
Picha 1:Luteni Kanali Paul-Henri Damiba kiongozi wa mapinduzi nchini Burkina Faso
Picha 2: Kanali Malick Diaw kiongozi wa mapinduzi nchini MaliView attachment 2103988View attachment 2103989
Swali la Kwanza
Nchi ya Ukraine ina kitu gani special sana hadi kupelekea kugombewa na mataifa nyenye nguvu duniani yaani marekani na urusi?
Marekani anataka kumiliki hilo eneo,mrusi nae anataka kulimikili,je ni sababu za kijasusi,kiuchumi au nini
Swali la Pili
Nchi mbalimbali barani Africa zimekumbwa na mapinduzi ya kijeshi kama Mali, Burkina Faso nk
Kwa mfano,kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini mali anacheo cha Luteni Kanali.Na kwa uelewa wangu ni kuwa jeshini cheo cha juu kabisa ukiacha CDF ni General.
Sasa swali langu ni hili,hawa maluteni wanapata wapi nguvu ya kupindua serikali na kuliongoza jeshi kufanya mapinduzi wakati wao sio majenerali?
Nilidhani majenerali ndio viongozi wa juu kabisa jeshini wenye uwezo wa ku mobilize jeshi kufanya tukio fulani kulingana na vyeo vyao,lakini hawa makanali wanapata wapi huu ujasiri,nguvu, ushawishi na uungwaji mkono na wanajeshi wengine?
ASANTENI KWA MAJIBU YENU
Picha 1:Luteni Kanali Paul-Henri Damiba kiongozi wa mapinduzi nchini Burkina Faso
Picha 2: Kanali Malick Diaw kiongozi wa mapinduzi nchini MaliView attachment 2103988View attachment 2103989