Ndilla
Member
- Dec 22, 2012
- 42
- 7
Habari zenu Wanajamvi,
Naomba kujuzwa kuhusu taarifa mahsusi za utaratibu, muda maalum na kiwango cha pesa cha kuwawezesha wanafunzi.
Kumekuwa na tetesi nyingi zisizo na uhakika hata wengine kuna uwezekano field yenyewe kutoweka lakini pia hata ofisi za chuo wamekuwa ki (Chuo cha kilimo MATI-MTWARA)... tetesi zimekuwa nyingi na zinachanganya!
Naomba msaada wenu.
Naomba kujuzwa kuhusu taarifa mahsusi za utaratibu, muda maalum na kiwango cha pesa cha kuwawezesha wanafunzi.
Kumekuwa na tetesi nyingi zisizo na uhakika hata wengine kuna uwezekano field yenyewe kutoweka lakini pia hata ofisi za chuo wamekuwa ki (Chuo cha kilimo MATI-MTWARA)... tetesi zimekuwa nyingi na zinachanganya!
Naomba msaada wenu.