Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Wapendwa wana JF,kuuliza sio ujinga,bali ni kutaka kujua zaidi. Pengine labda ni ushamba wangu kutokana na maisha niliyokulia,napenda kuelimishwa hapa kidogo. Mtu anapofariki,maiti yake inapelekwa mochwari,kwa uelewa wangu najua mochwari ni sehemu ya kuhifadhia maiti. Naomba mnijuze kama kuna cha ziada kinachofanyika katika mwili wa marehemu unapokuwa mochwari.