moudytz
Senior Member
- Sep 10, 2017
- 150
- 180
Wakuu naomben ushauri nahitaj kununua king'amuzi cha Azam TV kwa wale wenye uzoefu navyo
Naomba kujua list ya local channel.
Uangavu wao unazidi startimes ya dish?
Hdmi cable ni bure wakati wa kununua king'amuzi au una uziwa
Mwisho kabisa mimi ni mtumiaji wa sola sijafikiwa na umeme bado naomba kujua nyuma ya decoder/ receiver ni watts ngapi?
Nilikuwa natumia dstv kina tumia moto mwingi sana
Shukuran 👏👏
Naomba kujua list ya local channel.
Uangavu wao unazidi startimes ya dish?
Hdmi cable ni bure wakati wa kununua king'amuzi au una uziwa
Mwisho kabisa mimi ni mtumiaji wa sola sijafikiwa na umeme bado naomba kujua nyuma ya decoder/ receiver ni watts ngapi?
Nilikuwa natumia dstv kina tumia moto mwingi sana
Shukuran 👏👏