Habari wakuu?
Naomba kuuliza hivi mfano mtumishi amechukua mkopo Nmb mpya baada ya siku nne au wiki anapata barua ya uhamisho kutoka kwa katibu mkuu utumishi anahama kutoka kwa DED kwenda kwenye shirika la serikali je ule mkopo hauwezi ukaathiri uhamisho wake kwenda kwa mwajiri mpya?
Naomba kuuliza hivi mfano mtumishi amechukua mkopo Nmb mpya baada ya siku nne au wiki anapata barua ya uhamisho kutoka kwa katibu mkuu utumishi anahama kutoka kwa DED kwenda kwenye shirika la serikali je ule mkopo hauwezi ukaathiri uhamisho wake kwenda kwa mwajiri mpya?