Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
Habari wanajamvi,
Nimepotea sana ila tupo pamoja.
Naomba mnijuze kuhusu wale kuku wanonoo wakubwaa nawaona mtaani,anaweza kuwa na kg 6 au 7,kubwaa,nikauliza wakasema wanaitwa Amadol.(Hili jina sijui ndio lenyewe?au nimekosea )
1.Nijuzeni ni kuku wa breed gani
2.Nawezaje kuwafuga hawa naona wanasoko kweli kweli
3.Naweza wapata wapi hawa kuku,na wanalimwaje hawa!
Nimepotea sana ila tupo pamoja.
Naomba mnijuze kuhusu wale kuku wanonoo wakubwaa nawaona mtaani,anaweza kuwa na kg 6 au 7,kubwaa,nikauliza wakasema wanaitwa Amadol.(Hili jina sijui ndio lenyewe?au nimekosea )
1.Nijuzeni ni kuku wa breed gani
2.Nawezaje kuwafuga hawa naona wanasoko kweli kweli
3.Naweza wapata wapi hawa kuku,na wanalimwaje hawa!