Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,611
- 20,936
Limbukeni mimi naomba kujuzwa umuhimu wa daraja hili refu Africa mashariki na kati, maana mara nyingi miradi ya aina huwa ni lazima ifanyiwe tathimini ya kina kwa kupima umuhimu wake kwa jamii husika, gharama na jinsi pengine namna ya kuziepuka gharama kubwa mno kwa solutions nyepesi yenye gharama nafuu lakini zaidi umuhimu wake.
*Daraja la mkapa ilikuwa ni la lazima kama kiunganishi cha mikoa na kanda.
*Wami ilijengwa kama kiunganishi cha kanda.
*Alkadhalika malagarasi na n.k.
#why are we chops the bridges insides the lake.
*Daraja la mkapa ilikuwa ni la lazima kama kiunganishi cha mikoa na kanda.
*Wami ilijengwa kama kiunganishi cha kanda.
*Alkadhalika malagarasi na n.k.
#why are we chops the bridges insides the lake.