Remotex
Member
- Oct 3, 2020
- 60
- 104
Wadau poleni na majukumu. Naomba mnishauri.
Ninamjomba wangu (mtoto wa dada yangu) mwakani Inshalah nataka nimpeleke akasome VETA kozi fupi miezi mitatu mambo ya Uchomeleaji vyuma (Welding) Nilimtuma akafwatilie juzi wakamjibu amechelewa kujiunga mwaka huu na usaili umeshapita hadi mwakani tena, mwezi wa kumi. Nimeona asikae mtaani mpaka mwakani mwezi wa kumi kusubiri usaili alafu ajiunge mwaka 2023,kozi ndefu ni mbali sana na nikupoteza muda kukaa mtaani.
Sasa nachotaka kujua akisoma hiyo kozi miezi 3 atakuwa sawa na wale waliosoma miaka miwili? na je kama hatokuwa sawa kwanini sasa natakiwa kulipa ada mara sita zaidi ya ada ya wale wanaosoma miaka miwili? maana wale wanaosoma miaka miwili ada yao ni 60,000 tena kwa Mwaka mzima.
Nitashukuru kwa mawazo yenu naomba kuwasilisha.
Ninamjomba wangu (mtoto wa dada yangu) mwakani Inshalah nataka nimpeleke akasome VETA kozi fupi miezi mitatu mambo ya Uchomeleaji vyuma (Welding) Nilimtuma akafwatilie juzi wakamjibu amechelewa kujiunga mwaka huu na usaili umeshapita hadi mwakani tena, mwezi wa kumi. Nimeona asikae mtaani mpaka mwakani mwezi wa kumi kusubiri usaili alafu ajiunge mwaka 2023,kozi ndefu ni mbali sana na nikupoteza muda kukaa mtaani.
Sasa nachotaka kujua akisoma hiyo kozi miezi 3 atakuwa sawa na wale waliosoma miaka miwili? na je kama hatokuwa sawa kwanini sasa natakiwa kulipa ada mara sita zaidi ya ada ya wale wanaosoma miaka miwili? maana wale wanaosoma miaka miwili ada yao ni 60,000 tena kwa Mwaka mzima.
Nitashukuru kwa mawazo yenu naomba kuwasilisha.