profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,482
- 3,124
Tunataka kusafiri na toyota noah,old model cc1990 kutoka dar to kyela mbeya, tuandae kama sh ngapi ya wese na vitu gani vya kuservice kabla ya safari na speed iwe ngapi ili kuserve mafuta?
Mabingwa msaada tafadhali.
Mabingwa msaada tafadhali.