Naomba kujuzwa kama kuna dawa zinazoweza kung'arisha meno kabisa

Jodeo

JF-Expert Member
Mar 10, 2015
1,286
1,326
Habari?

Naomba kujuzwa kama kuna dawa zinazoweza kung'arisha meno kabisa na kuondoa stains kwenye meno au njia yoyote ambayo ni salama kwa afya. (Meno yenye uchafu kama kutu hivi)

Asante
 
Habari?

Naomba kujuzwa kama kuna dawa zinazoweza kung'arisha meno kabisa na kuondoa stains kwenye meno au njia yoyote ambayo ni salama kwa afya. (Meno yenye uchafu kama kutu hivi)

Asante
Mkuu dentist aliniambia hizi whitening toothpastes zina bleach mwisho wa siku unaharibu enamel, nenda kwa professional dentists wanaofanya cosmetic cleaning procedure. Ni gharama kidogo lakini ni salama.
 
Mkuu dentist aliniambia hizi whitening toothpastes zina bleach mwisho wa siku unaharibu enamel, nenda kwa professional dentists wanaofanya cosmetic cleaning procedure. Ni gharama kidogo lakini ni salama.
Makadirio ni kiasi gani
 
kuna video moja you tube niliona wanatumia baking soda na ndimu kutengeneza kapaste kadogo, then anasugulia meno in less than two minutes, pia wanasema inabidi isitumiwe kila siku ili kupunguza side effects. Wataalam watakuja kusaidia kuconfirm kama hyo njia ni kwel na salama kwa afya zetu
 
Nunua bicabornate of soda ile wanayowekaga kwenye maandazi then ichukue kidogo changanya na limau kidog maji yake then itumie kama dawa ya meno usisugue zaid ya dakika mbili na ukisugua leo kesho pumzika then kila utapokuwa unasugua utakuwa unaona mabadiliko tumia mpaka utakapo ona meno yako ni meupe me nilitumiaga mara nne tu yakawa safi kabisa mkuu
 
Jitahidi kupiga mswaki asubuhi na usiku kila siku,baada ya kula....kila saubuhi baada ya kusugua na mswaki chukua mdaa,kuna mti unaitwa mdaa wanauza hata wamasai,sugua tena kama dakika mbili,meno yatakuwa meupe sana,ndio njia yangu mimi hiyo na nina meno meupe kabisa
 
Kuna meno mengine hayasafishiki.Toka utotoni yameathirika na hiyo rangi kutokana na mazingira ya eneo.Hizo dawa sina hakika kama zinaweza kung'arisha meno ya mtu mwenye miaka 40 akiwa nayo....
 
Nunua bicabornate of soda ile wanayowekaga kwenye maandazi then ichukue kidogo changanya na limau kidog maji yake then itumie kama dawa ya meno usisugue zaid ya dakika mbili na ukisugua leo kesho pumzika then kila utapokuwa unasugua utakuwa unaona mabadiliko tumia mpaka utakapo ona meno yako ni meupe me nilitumiaga mara nne tu yakawa safi kabisa mkuu
Ubarikiwe sana
 
Jitahidi kupiga mswaki asubuhi na usiku kila siku,baada ya kula....kila saubuhi baada ya kusugua na mswaki chukua mdaa,kuna mti unaitwa mdaa wanauza hata wamasai,sugua tena kama dakika mbili,meno yatakuwa meupe sana,ndio njia yangu mimi hiyo na nina meno meupe kabisa
Asante kwa maarifa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom