NAOMBA KUJUZWA JUU YA MISHAHARA YA WATUMISHI WA UMMA

Samcezar

JF-Expert Member
May 18, 2014
13,096
22,625
Habarini watukufu. Ningependa kufahamishwa juu ya uwazi wa mishahara na mali za watumishi wa uma, ikiwemo raisi, makamo wake, mawaziri na manaibu, makatibu wizara, wabunge na wengineo ,kada zote 4 ofisi ya *

Je, kuna sheria ya wazi kabisa inayoweka bayana kuwa viongozi, watendaji, na wajiriwa wote wa ofisi za uma mishahara yao na wanachokipata kuwekwa wazi....?!
Naomba kuelimishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom