Asante sanaKijani kibichi inawezekana ni embe au parachichi
Kama ni embe basi linahitajika embe bichi
Embe bichi
Pilipili
Tangawizi
Kotimil kidogo
Kitunguu saum
Maji kiasi
Changanya visage kwa pamoja
Au
Parachichi moja
Pilipili utakazo
Kotimil kidogo
Tangawiz
Kitunguu saum
Maji kiasi
NB:Hiyo ni pilipili ambayo haipikwi
Kotimil ndo ninii???Kijani kibichi inawezekana ni embe au parachichi
Kama ni embe basi linahitajika embe bichi
Embe bichi
Pilipili
Tangawizi
Kotimil kidogo
Kitunguu saum
Maji kiasi
Changanya visage kwa pamoja
Au
Parachichi moja
Pilipili utakazo
Kotimil kidogo
Tangawiz
Kitunguu saum
Maji kiasi
NB:Hiyo ni pilipili ambayo haipikwi
Ni majani au mbegu vinatumika kama kiungo kwenye chakula,huleta harufu nzur na uchachu kwa mbaliKotimil ndo ninii???
HahahaDuh kuna hadi pilipili ya embe