msuya4real
Member
- Oct 14, 2016
- 76
- 27
Naomba Kujua Utaratibu wa Namna ya Kufungua Google akuanti ya Kikundi cha Kijamii (Vicoba) kwa Ajili ya Kuomba Usajili.
Msaada Mwenye Kujua naomba ufafanuzi Please.
Msaada Mwenye Kujua naomba ufafanuzi Please.