Kitimoto haijaharamishwa. Ni ruksa kula, katika dini ya kiislamu hakuna chakula kliichoharamishwa, hata nyama ya binadamu unaruhusiwaMinajua kilichoharamishwa ni kitimoto, hao uliowataja hapo wanaliwa vzr tu
HIYO QURAN YENYEWE INASEMAJE???
Dini Ya HakiKwenye uislamu hakuna chakula kikichoharamishwa.
Hata nyama ya mtu inaliwa
ni dhambi kubwa kufa njaa,