ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
WanaJF
Kati ya ndoto zangu kubwa katika maisha ni kuanzisha NGO yenye kujihusisha na mambo ya elimu.
Ukiachana na taratibu za kisheria za usajili{ambazo nimeshazisoma} je ni mambo gani mengine natakiwa kuzingatia?
Ni kwa namna gani NGO zinapata fedha kwa namna gani? je, kuna ruzuku NGO zinapata kutoka serikalini? ni kwa namna gani ninaweza pata internship ktk NGO ili kupata uzoefu wa uendeshaji wa NGO?
Kati ya ndoto zangu kubwa katika maisha ni kuanzisha NGO yenye kujihusisha na mambo ya elimu.
Ukiachana na taratibu za kisheria za usajili{ambazo nimeshazisoma} je ni mambo gani mengine natakiwa kuzingatia?
Ni kwa namna gani NGO zinapata fedha kwa namna gani? je, kuna ruzuku NGO zinapata kutoka serikalini? ni kwa namna gani ninaweza pata internship ktk NGO ili kupata uzoefu wa uendeshaji wa NGO?