Naomba kujuzwa hatua za kufuata ukitaka kurudi tena chuo baada ya kuomba kusimama kwa muda

Brastus Jnr

Member
May 1, 2020
12
6
Naomba kufahamu hatua za kufuata unapotaka kuendelea na chuo baada ya kupostpone bila ya kufuata utaratibu ie. Kuandika barua katika chuo ulichochaguliwa hapo mwanzo.
 
Chuo gani? Tuanzie hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unatakiwa kwenda chuo ulichokuwa unasoma kuna barua watakupa utaemda nayo TCU kuterminate masomo baada ya hapo unakuwa free kuomba chuo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naomba kufahamu hatua za kufuata unapotaka kuendelea na chuo baada ya kupostpone bila ya kufuata utaratibu ie. Kuandika barua katika chuo ulichochaguliwa hapo mwanzo.
Mwanzo nilichaguliwa josia kibila so nataka niapply kingine mwaka huu
Swali la kwanza je ulifika chuoni na kujiregister? Kama hukufanya hivyo basi uwasiliane na TCU uwaeleze shida yako.
Kama uli-register chuo halafu ukaondoka bila taarifa, chuo kitakuhesabu ume-abscond na kutegemea ilikuwa mwaka gani basi huenda ukawa wamekwisha kudisco. Hapo tena uende TCU kwani wao wanajua wewe ni mwanafunzi wa chuo waliko kuthibitisha. Hivyo kwa vyovyote vile wasiliana na TCU kwa majibu sahihi mapema iwezekanavyo.
 
Swali la kwanza je ulifika chuoni na kujiregister? Kama hukufanya hivyo basi uwasiliane na TCU uwaeleze shida yako.
Kama uli-register chuo halafu ukaondoka bila taarifa, chuo kitakuhesabu ume-abscond na kutegemea ilikuwa mwaka gani basi huenda ukawa wamekwisha kudisco. Hapo tena uende TCU kwani wao wanajua wewe ni mwanafunzi wa chuo waliko kuthibitisha. Hivyo kwa vyovyote vile wasiliana na TCU kwa majibu sahihi mapema iwezekanavyo.
Asante kiongozi nimekupata
 
Nenda chuo ulichochaguliwa mwanzo waambie wakupe barua kua hukuendelea na masomo. Hua wanazo standby.

Kisha ipeleke tcu, nadhani kuna form au barua unaandika ukiambatanisha hiyo barua ya chuo.

TCU wakipokea maombi yako ndani ya siku 2 au 3 watakuondoa kwenye data base yao ili wewe uweze kuomba upya. Kwa sasa bado uko kwenye database yao kama mwanafunzi au mhitimu.
 
Nenda chuo ulichochaguliwa mwanzo waambie wakupe barua kua hukuendelea na masomo. Hua wanazo standby.

Kisha ipeleke tcu, nadhani kuna form au barua unaandika ukiambatanisha hiyo barua ya chuo.

TCU wakipokea maombi yako ndani ya siku 2 au 3 watakuondoa kwenye data base yao ili wewe uweze kuomba upya. Kwa sasa bado uko kwenye database yao kama mwanafunzi au mhitimu.
Nimekuelewa mkuu asante Sana
 
Back
Top Bottom