nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,116
- 1,824
Wadau na wakazi wa Mbezi Makabe naomba kufahamu hadhi ya makazi ya maeneo haya, je kumepimwa? Kuna lami? Kuna biashara ya nyumba za kupanda na guest au lodge? PIA NAOMBA KUFAHAMU BEI YA VIWANJA 20/20.
Tafadhali nitashukuru sana kufahamu hayo kwa uchache.
Tafadhali nitashukuru sana kufahamu hayo kwa uchache.