uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,185
- 9,109
Habari ndugu zangu,
Jamaa yenu nataka mwaka huu niachane na upangaji kwa wenye utaalamu naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vinne sebule choo na jiko kwa fundi.
Nimeuliza gharama ili nijue namna ya kupatana nisije kupigwa sana, eneo ni Chanika -- kiwanja kiko flat hakuna milima.
Jamaa yenu nataka mwaka huu niachane na upangaji kwa wenye utaalamu naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vinne sebule choo na jiko kwa fundi.
Nimeuliza gharama ili nijue namna ya kupatana nisije kupigwa sana, eneo ni Chanika -- kiwanja kiko flat hakuna milima.