UNIVERSE
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 587
- 557
Duh! Ndugu nadhani si yeye aliyetoa data hizo, si kaweka na link hapo chini?Unajiita nyati afu unaleta data za kunguni......
$1000 inajua ni tsh ngap wewe....
Duh! Ndugu nadhani si yeye aliyetoa data hizo, si kaweka na link hapo chini?Unajiita nyati afu unaleta data za kunguni......
$1000 inajua ni tsh ngap wewe....
sasa huo ni mualiko au unataka upewe kaziNialike na mm kama potar but garama n 1000 us
Siku moja alipanda hadi wapi?sasa kuna mholanzi aliupanda kwa siku 1, kwenda na kurudi,
Vyote vilivyoposasa huo ni mualiko au unataka upewe kazi
Kumbe kuna vitu huchangia bila kumhate JPM?Kama hujapima afya na kujua kama uko fit kupanda au la, gharama kubwa kabisa inaweza kuwa maisha yako.
Kuna kaka yetu mmoja miakamingi iliyopita alienda na wenzake wa Arusha School, mwenzao mmoja akafariki, kwa kuwa alipanda mlimatu bilakuangalia afya kwanza kama anaweza kupanda.
JPM ni nani?Kumbe kuna vitu huchangia bila kumhate JPM?
Namanisha mbaya wa kwako na akina BAK , Mwanahabari Huru , Salary Slip , swissme , Malisa Godlisten etc
Mimi naongea dhana, siongei mtu.Namanisha mbaya wa kwako na akina BAK , Mwanahabari Huru , Salary Slip , swissme , Malisa Godlisten etc
I was teasing bye!Mimi naongea dhana, siongei mtu.
That train has derailed since the Finland Station.
Jaribu tena.
HahahahahahahahahahahaMama weweee... Hili lijamaa liongo kinyama...
Mlima Everest wenyewe una maximum height ya 8848 metres (almost 9 km)
Hizo Kilomita 25 unatembea kwenda Mbinguni???
Mkuu gharama kwa upande wa guide na porters sometimes kibongo~bongo zinategemea. Point yangu ya msingi hapa ni kwamba kama uko vizuri kwenye kutembea basi gharama itapungua kidogo coz kuna baadhi ya vituo vya kupumzika itabidi kuunga moja kwa moja na hii inategemea pia mtakuwa mmepanda kwa kutumia njia ipi.
Katika kupanda mlima respectively njia sio moja kuna njia nyingi kwa mfano kuna njia ya Machame, Lemosho, Rongai, Marangu etc, etc. Hapo kuna njia kuna sio mzuri wa kutembea hutoboi manaake ni balaa.
But so far kupanda kama uko vizuri huwa inachukua siku 7 hadi 10 that is kama ni siku 7 basi siku 5 zitakuwa za kupanda to the peak alafu siku 2 ni za kushuka. Na pia hakikisha afya yako iko vizuri na usiwe na matatizo ya kifua.
Hali ya hewa kubadikika ghafla huko juu na kuanza kudondosha theluji ni jambo la kawaida sana au mvua kuwakuta njiani wakati mnatembea mkanyeshewa hata kwa masaa mawili au matatu ni jambo la kawaida sana.
Mind you sometimes kutegemea na njia uliyopandia swala la kutembea 20~25 km's per day ni jambo la kawaida thats why inatakiwa uwe vizuri kwenye kutembea.
Kaka angu Hakukuongezea kwan Kipindi Kile.....???Nlienda day trip, kituo kimoja tu mandara 1500 kiingilio....
Ila sina hamu.
Namanisha mbaya wa kwako na akina BAK , Mwanahabari Huru , Salary Slip , swissme , Malisa Godlisten etc
Mkuu gharama kwa upande wa guide na porters sometimes kibongo~bongo zinategemea. Point yangu ya msingi hapa ni kwamba kama uko vizuri kwenye kutembea basi gharama itapungua kidogo coz kuna baadhi ya vituo vya kupumzika itabidi kuunga moja kwa moja na hii inategemea pia mtakuwa mmepanda kwa kutumia njia ipi.
Katika kupanda mlima respectively njia sio moja kuna njia nyingi kwa mfano kuna njia ya Machame, Lemosho, Rongai, Marangu etc, etc. Hapo kuna njia kuna sio mzuri wa kutembea hutoboi manaake ni balaa.
But so far kupanda kama uko vizuri huwa inachukua siku 7 hadi 10 that is kama ni siku 7 basi siku 5 zitakuwa za kupanda to the peak alafu siku 2 ni za kushuka. Na pia hakikisha afya yako iko vizuri na usiwe na matatizo ya kifua.
Hali ya hewa kubadikika ghafla huko juu na kuanza kudondosha theluji ni jambo la kawaida sana au mvua kuwakuta njiani wakati mnatembea mkanyeshewa hata kwa masaa mawili au matatu ni jambo la kawaida sana.
Mind you sometimes kutegemea na njia uliyopandia swala la kutembea 20~25 km's per day ni jambo la kawaida thats why inatakiwa uwe vizuri kwenye kutembea.
Unataka kupanda wewe kama mTZ? Kama ni wewe andaa laki 5 na nusu nikupe kampuni safi kabisa ikupandishe na hautajuta. Hiyo fedha ni kila kitu kabisa, kuanzia mpishi, chakula, kulala njiani, bima, mbebaji mizigo na kukodi mavazi spesheli ya kupandia. Hata na usafiri kukutoa moshi mjini hadi getini Marangu.