kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Naomba kujua gharama za fomu kwa wale wote wanaotaman kugombea kupitia CCM wanatakiwa kulipia kiasi gani Cha fomu. Yaani ngazi ya Udiwani na Ubunge (Urais najua ni 1 Million)
Asanteni.
Asanteni.