Kuna hospitali moja nimeona leo wameotangaza kwenye ITV imejegwa kwa tsh 400,000,000 ni nzuri nimeitamaniJamani samahanini natamani kujua ni gharama gani Yani fedha kwa makadilio inayoitajika kuanzisha hospitali
Hospitali ukiwa na 200 M unaanzaJamani samahanini natamani kujua ni gharama gani Yani fedha kwa makadilio inayoitajika kuanzisha hospitali
Mwamba uko vizuriiHospitali ukiwa na 200 M unaanza
Kituo cha afya ukiwa na 100 M unaanza
Zahanati ukiwa na 80 unaanza
Clinic ukiwa na 20 M unaanza
kwa vichekesho kama hivi piga *130*01#Hospitali ukiwa na 200 M unaanza
Kituo cha afya ukiwa na 100 M unaanza
Zahanati ukiwa na 80 unaanza
Clinic ukiwa na 20 M unaanza
hahahahahahakwa vichekesho kama hivi piga *130*01#
Kichekesho kipi hapo sasa, nimeshiriki kwenye hizi project mara kibao, najua bajeti zao na moja nipo nayo naimalizia sa hivi , clinic hapa DSM ...kwa vichekesho kama hivi piga *130*01#
unaongelea hospitali au majengo ya hospitali ?Kichekesho kipi hapo sasa, nimeshiriki kwenye hizi project mara kibao, najua bajeti zao na moja nipo nayo naimalizia sa hivi , clinic hapa DSM ...
unaongelea hospitali au majengo ya hospitali ?
Mhh, Mkuu unazungumzia pamoja na vifaa vyake (on the minimum scale), au umeweka kwa ujenzi/ukarabati wa miundo mbinu tu? Naomba tusaidie mchanganuo kwa 20M ya clinic tuone.Hospitali ukiwa na 200 M unaanza
Kituo cha afya ukiwa na 100 M unaanza
Zahanati ukiwa na 80 unaanza
Clinic ukiwa na 20 M unaanza
Inaitwaje?Kuna hospitali moja nimeona leo wameotangaza kwenye ITV imejegwa kwa tsh 400,000,000 ni nzuri nimeitamani
Siwezi kukumbukabila ni huko Mbeya nilisikia ITV jaribu kusearchInaitwaje?
Ilikua kwenye habari ya saa 2 usku...? nicheck youtubeSiwezi kukumbukabila ni huko Mbeya nilisikia ITV jaribu kusearch
weweeeeeweee mashine moja tu ya CT scan zaidi ya milion 200 iyo milion miambili labda dispensary au duka la dawaHospitali ukiwa na 200 M unaanza
Kituo cha afya ukiwa na 100 M unaanza
Zahanati ukiwa na 80 unaanza
Clinic ukiwa na 20 M unaanza
YesIlikua kwenye habari ya saa 2 usku...? nicheck youtube
Kwanza ungejua sifa ya kuitwa hospitali ndomana hospitali zina hadhi tofauti tofauti ndomana eleweni maana ya kuanza... Kwamba unaweza kuanza sio kukamilishaweweeeeeweee mashine moja tu ya CT scan zaidi ya milion 200 iyo milion miambili labda dispensary au duka la dawa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app