humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 620
Hivi kuna umbali wa muda gani kutoka Arusha hadi Ngorongoro Crater. Nafikiria kufanya hata day trip?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka Arusha hadi Ngorongoro ni 152km, hapa ni sawa masaa 3 tu kwa mwwndo wa kawaidaHivi kuna umbali wa muda gani kutoka Arusha hadi Ngorongoro Crater. Nafikiria kufanya hata day trip?
Huku sio kwenda kutalii bali ni kuvizia kitaliiShuka makuyuni au nyuma yake kidogo kuna campsite nyingi hapo utapata madereva wengi wa tours.. ila kuwa mjanja kwenye kupatana kwa maana pesa yako ni posho ya dereva..
Thanks mkuuKutoka Arusha hadi Ngorongoro ni 152km, hapa ni sawa masaa 3 tu kwa mwwndo wa kawaida
KaribuThanks mkuu
Ngorongoro kivutio kikuu ni crater na sio wanyama, pili ngorongoro sio mbuga ya wanyama wanaita reserved area.Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.
Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Ngorongoro kivutio kikuu ni crater na sio wanyama, pili ngorongoro sio mbuga ya wanyama wanaita reserved area.
Tarangire ni mbuga ya wanyama na ina wanyama wengi sana.
Inasifika kwa simba wanaopanda kwenye miti na makundi mengi ya tembo
Naomba nisogezee mawasiliano/page ya instagram ya watoa huduma tafadhaliMkuu mimi sio mtoa huduma, nimekupa gharama ili angalau uwe na wastani wa makadirio, ukihitaji labda nikuunganishe na watoa huduma mbalimbali naweza kufanya hivyo ili upewe itinerary.
Vinginevyo naomba nisijibu mengi.
Nimeenda Tarangire hiyo ni bei ya kitalii.Kama unataka ya kibongobongo. Tafuta watu binafsi wenye cruiser patanisha nao. Laki 2 na nusu Hadi 5 ukienda kibosi. Kuingia kichwa haizidi 15000 Kwa MTU mzima , watoto mpaka 18 yrs free. Kule inategenea anaenda MTU WA namna gani sie tulikodi hiece watu 12 tukachanga 30000 na tukaona wanyama.bei ya mzawa je ?
Land cruiserAina gani ya gari kwa hii trip
Hii ni bei ya mtalii ama Mtanzania?250usd/day
Hatari eehVitu nilishindwaga hivi. Yaani nitoe Laki 5 kukuona tembo? Dah me kweli bado sana nipo nyuma.