Naomba kujuzwa gharama ya safari ya mbugani kwa njia ya Land Cruiser

Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.

Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Inategemea unahitaji kuona wanyama gani.
Mbuga ya karibu ni Arusha NP, Manyara na Tarangire.
Nimeziandika kwa mpangilio na ya kwanza ni karibu zaidi
 
Ndugu wanaJF naomba kufahamu kuhusu gharama za sasaivi za bei ya gari ya kwenda mbugani (Landcruiser). Kutokana na kushuka kwa safari za utalii kwa sasa bei za kukodi gari zimepungua?

Gharama kwa siku ni kiasi gani?

Nipo Arusha, natanguliza shukrani.

View attachment 1975021
Kwa kupunguza gharama. Tumia usafiri wa kawaida mpaka .Mto wa mbu / karatu..hapo kuna madereva wengi wa tours.. utaunganishwa na wageni wengine..
 
Inategemea unahitaji kuona wanyama gani.
Mbuga ya karibu ni Arusha NP, Manyara na Tarangire.
Nimeziandika kwa mpangilio na ya kwanza ni karibu zaidi
Gari mmesema 250USD gharama za kuingia mbugani ni bei gani per head?
Je tukija watu 7 gharama ya gari inaongezeka?
 
Ni vyema mngelala karatu ili game drive ianze mapema, maana kutokea ar hadi NCAA hamtoinjoi muda utabana mno baada ya kutalii hifadhini ndio mwaweza kuja kulala Arusha
Tuna activity ya kufanya Arusha day 1,then day 2 tunataka day trip to Ngorongoro.Haiwezekani?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom